Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe 13 Aprili ni siku ya 103 ya mwaka (ya 104 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 262.
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Papa Martin I, Karpo, Papilo na wenzao, Orso wa Ravenna, Ermengild, Karadoki, Margerita wa Città di Castello, Saba Reyes n.k.
WikiMedia Commons
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 13 Aprili kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|