www.fgks.org   »   [go: up one dir, main page]

Nenda kwa yaliyomo

Safu ya milima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 19:24, 28 Aprili 2018 na Unja1234 (majadiliano | michango) (Kuanzisha ukurasa)
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)

Safu ya milima ni msururu wa milima iliyokaribiana[1]. Milima hiyo hutenganishwa na nyanda za juu au mabonde.

Safu ya Nyandarua kutoka Mbuga ya Kitaifa ya Aberdare

Mifano ya safu za milima ni kama vile, Safu ya Aberdare, Milima Atlas, Alpi na Himalaya. Safu nyingi za milima duniani zilitengenezwa kama milima kunjamano.

Marejeo

  1. "Mountains Information and Facts". Iliwekwa mnamo 2018-04-28. {{cite web}}: Text "National Geographic" ignored (help)
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.