www.fgks.org   »   [go: up one dir, main page]

Nenda kwa yaliyomo

Kishineu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 10:43, 21 Novemba 2011 na RedBot (majadiliano | michango) (r2.5.2) (roboti Badiliko: it:Chișinău)
Kishineu mjini: geti na kanisa

Kishineu (tamka: ki-shi-ne-u; Kiromania Chişinău (matamshi kama mbele); kwa mwandiko wa kikirili Кишинэу, Kirusi Кишинёв "kishinyev") ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Moldova mwenye wakazi 600,000.

Jiografia

Mji uko kwa 47°0′N 28°55′E kando la mto Bich (Bîc) amabo ni tawimto wa Dnestr . Eneo la mji ni 120 km². Kishineu iko katikati ya nchi ya Moldova.

Kuna vyuo vingi pamoja na shule, makumbusho na nyumba za igizo. Mji una viwanda vingi.

Wakazi

Kati ya wakazi kuna vikundi vifuatayo kufuatana na lugha:

Viungo vya Nje

Picha za Kishineu

Ramani

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kishineu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.