www.fgks.org   »   [go: up one dir, main page]

Mel (alifariki huko Ireland, 488) alikuwa mpwa wa Patrick[1] ambaye alikwenda naye kufanya umisionari.

Mt. Mel baada ya kupewa uaskofu.

Mjomba wake alimfanya askofu wa kwanza wa Ardagh[2] [3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Februari[4].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri
  1. "CATHOLIC ENCYCLOPEDIA: Ardagh". www.newadvent.org.
  2. "Ardagh Heritage Village". 9 Aprili 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/39670
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo

hariri
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.