Michuano ya kombe la EURO 2024 itaanza Ijumaa Juni 14 kwa pambano kati ya wenyeji Ujerumani na Scotland katika dimba la Allianz Arena mjini Munich na kukamilika Jumapili Julai 14 kwa fainali mjini Berlin.
Kusikiliza matangazo, tafadhali bonyeza alama ya spika ya masikioni hapo chini, na kuwasiliana nasi: kiswahili@dw.com
Mahojiano ya moja kwa moja ya kila wiki na masuali magumu kwa mmoja wa watu muhimu kuhusu jambo muhimu lililotokea katika mataifa ya Afrika ya Mashariki na Kati.