www.fgks.org   »   [go: up one dir, main page]

Habari Mpya

Je Sera ya Lugha Tanzania inabagua lugha za asili?

Kuna takribani lugha 150 nchini Tanzania, lakini lugha ya Kisawhili imepewa upendeleo mkubwa, hasa katika muktadha wa elimu ya msingi. Wanazuoni Hannah Gibson (Chuo Kikuu cha Essex) na Gastor Mapunda (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) wanatoa maoni yao kwa ufupi kuhusu hali hii kwa kutumia matokeo ya utafiti unaochunguza...

Kumbukumbu za Mwezi

Waandishi


Karibu kujiunga nasi

Kama ungependa kuungana nasi, tafadhali jaza fomu hii ya kujiunga au wasiliana na Mhariri kwa barua pepe: christianbwaya [at] gmail [dot] com